Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 22:34 - Swahili Revised Union Version

34 Na Mafarisayo waliposikia ya kwamba amewafumba kinywa wale Masadukayo, walifanya shauri pamoja.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Mafarisayo waliposikia kwamba Yesu alikuwa amewanyamazisha Masadukayo, wakakutana pamoja.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Mafarisayo waliposikia kwamba Yesu alikuwa amewanyamazisha Masadukayo, wakakutana pamoja.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Mafarisayo waliposikia kwamba Yesu alikuwa amewanyamazisha Masadukayo, wakakutana pamoja.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Mafarisayo waliposikia kwamba Isa alikuwa amewanyamazisha Masadukayo, Mafarisayo wakakusanyika pamoja.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Mafarisayo waliposikia kwamba Isa alikuwa amewanyamazisha Masadukayo, Mafarisayo wakakusanyika pamoja.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

34 Na Mafarisayo waliposikia ya kwamba amewafumba kinywa wale Masadukayo, walifanya shauri pamoja.

Tazama sura Nakili




Mathayo 22:34
10 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini wale Mafarisayo wakatoka wakafanya shauri juu yake jinsi ya kumwangamiza.


Na alipoona wengi miongoni mwa Mafarisayo na Masadukayo wakiujia ubatizo wake, aliwaambia, Enyi wazawa wa nyoka, ni nani aliyewaonya ninyi kuikimbia hasira itakayokuja?


Na tazama, mwanasheria mmoja alisimama amjaribu; akisema, Mwalimu, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo