Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 22:33 - Swahili Revised Union Version

33 Na makutano waliposikia, walishangaa kwa mafunzo yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Ule umati wa watu uliposikia hivyo ukayastaajabia mafundisho yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Ule umati wa watu uliposikia hivyo ukayastaajabia mafundisho yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Ule umati wa watu uliposikia hivyo ukayastaajabia mafundisho yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Wale umati wa watu waliposikia hayo, walishangaa sana kwa mafundisho yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Ule umati wa watu uliposikia hayo, ulishangaa sana kwa mafundisho yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

33 Na makutano waliposikia, walishangaa kwa mafunzo yake.

Tazama sura Nakili




Mathayo 22:33
8 Marejeleo ya Msalaba  

Waliposikia, walistaajabu, wakamwacha, wakaenda zao.


Yesu akajibu, akawaambia, Mpeni Kaisari yaliyo ya Kaisari, na yaliyo ya Mungu mpeni Mungu. Wakamstaajabia sana.


Na ilipokuwa sabato, alianza kufundisha katika sinagogi; wengi waliposikia wakashangaa, wakisema, Huyu ameyapata wapi haya? Na, Ni hekima gani hii aliyopewa huyu? Na, Ni nini miujiza hii mikubwa inayotendeka kwa mikono yake?


Nao wote waliomsikia walistaajabia fahamu zake na majibu yake.


Wakamshuhudia wote, wakiyastaajabia maneno ya neema yaliyotoka kinywani mwake, wakasema, Huyu siye mwana wa Yusufu?


Wale watumishi wakajibu. Hajanena kamwe mtu yeyote kama huyu anavyonena.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo