Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 22:33 - Swahili Revised Union Version

Na makutano waliposikia, walishangaa kwa mafunzo yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ule umati wa watu uliposikia hivyo ukayastaajabia mafundisho yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ule umati wa watu uliposikia hivyo ukayastaajabia mafundisho yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ule umati wa watu uliposikia hivyo ukayastaajabia mafundisho yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wale umati wa watu waliposikia hayo, walishangaa sana kwa mafundisho yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ule umati wa watu uliposikia hayo, ulishangaa sana kwa mafundisho yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na makutano waliposikia, walishangaa kwa mafunzo yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 22:33
8 Marejeleo ya Msalaba  

Waliposikia, walistaajabu, wakamwacha, wakaenda zao.


Yesu akajibu, akawaambia, Mpeni Kaisari yaliyo ya Kaisari, na yaliyo ya Mungu mpeni Mungu. Wakamstaajabia sana.


Na ilipokuwa sabato, alianza kufundisha katika sinagogi; wengi waliposikia wakashangaa, wakisema, Huyu ameyapata wapi haya? Na, Ni hekima gani hii aliyopewa huyu? Na, Ni nini miujiza hii mikubwa inayotendeka kwa mikono yake?


Nao wote waliomsikia walistaajabia fahamu zake na majibu yake.


Wakamshuhudia wote, wakiyastaajabia maneno ya neema yaliyotoka kinywani mwake, wakasema, Huyu siye mwana wa Yusufu?


Wale watumishi wakajibu. Hajanena kamwe mtu yeyote kama huyu anavyonena.