Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 22:22 - Swahili Revised Union Version

22 Waliposikia, walistaajabu, wakamwacha, wakaenda zao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Waliposikia hivyo wakashangaa; wakamwacha, wakaenda zao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Waliposikia hivyo wakashangaa; wakamwacha, wakaenda zao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Waliposikia hivyo wakashangaa; wakamwacha, wakaenda zao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Waliposikia hili, wakashangaa. Hivyo wakamwacha, wakaenda zao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Waliposikia hili, wakashangaa. Hivyo wakamwacha, wakaenda zao.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

22 Waliposikia, walistaajabu, wakamwacha, wakaenda zao.

Tazama sura Nakili




Mathayo 22:22
10 Marejeleo ya Msalaba  

Angalieni, mimi nawatuma kama kondoo kati ya mbwamwitu; basi iweni na busara kama nyoka, na kuwa watu wapole kama hua.


Na makutano waliposikia, walishangaa kwa mafunzo yake.


Wala hakuweza mtu kumjibu neno; wala hakuthubutu mtu yeyote tangu siku ile kumwuliza neno tena.


Yesu aliposikia hayo, alistaajabu, akawaambia wale waliomfuata, Amin, nawaambieni, Sijaona imani kubwa namna hii, kwa yeyote katika Israeli.


Nao wakataka kumkamata, wakaogopa mkutano; maana walitambua ya kwamba ule mfano amewanenea wao. Wakamwacha wakaenda zao.


kwa sababu mimi nitawapa kinywa na hekima ambayo watesi wenu wote hawataweza kushindana nayo wala kuipinga.


lakini hawakuweza kushindana na hiyo hekima na huyo Roho aliyesema naye.


Maneno yenu yawe na neema siku zote, yakikolezwa chumvi, ili mpate kujua jinsi iwapasavyo kumjibu kila mtu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo