Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 7:46 - Swahili Revised Union Version

46 Wale watumishi wakajibu. Hajanena kamwe mtu yeyote kama huyu anavyonena.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

46 Walinzi wakawajibu, “Hakuna mtu aliyepata kamwe kusema kama asemavyo mtu huyu!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

46 Walinzi wakawajibu, “Hakuna mtu aliyepata kamwe kusema kama asemavyo mtu huyu!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

46 Walinzi wakawajibu, “Hakuna mtu aliyepata kamwe kusema kama asemavyo mtu huyu!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

46 Wale walinzi wakajibu, “Kamwe hajanena mtu yeyote kama yeye anenavyo.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

46 Wale walinzi wakajibu, “Kamwe hajanena mtu yeyote kama yeye anenavyo.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

46 Wale watumishi wakajibu. Hajanena kamwe mtu yeyote kama huyu anavyonena.

Tazama sura Nakili




Yohana 7:46
5 Marejeleo ya Msalaba  

Wakamshuhudia wote, wakiyastaajabia maneno ya neema yaliyotoka kinywani mwake, wakasema, Huyu siye mwana wa Yusufu?


wakashangaa mno kwa mafundisho yake, kwa kuwa neno lake lilikuwa na uwezo.


Na kumbe! Anena waziwazi, wala hawamwambii neno! Inawezekana hao wakuu wanajua hakika ya kuwa huyu ndiye Kristo?


Mafarisayo wakawasikia mkutano wakinung'unika hivi juu yake; basi wakuu wa makuhani na Mafarisayo wakatuma watumishi ili wamkamate.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo