Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 22:19 - Swahili Revised Union Version

Nionesheni fedha ya kodi. Nao wakamletea dinari.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nionesheni fedha ya kulipia kodi.” Nao wakamtolea sarafu ya fedha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nionesheni fedha ya kulipia kodi.” Nao wakamtolea sarafu ya fedha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nionesheni fedha ya kulipia kodi.” Nao wakamtolea sarafu ya fedha.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nionesheni hiyo sarafu inayotumika kwa kulipia kodi.” Wakamletea dinari.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nionyesheni hiyo sarafu inayotumika kwa kulipia kodi.” Wakamletea dinari.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nionesheni fedha ya kodi. Nao wakamletea dinari.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 22:19
7 Marejeleo ya Msalaba  

Naye alipoingia nyumbani, Yesu alitangulia kumwuliza, akisema, Waonaje, Simoni? Wafalme wa dunia hutwaa kodi ama ushuru kwa watu gani? Kwa wana wao au kwa wageni?


Mtumwa yule akatoka, akamwona mmoja wa watumishi wake, aliyemwia dinari mia; akamkamata, akamkaba koo, akisema, Nilipe unachodaiwa.


Naye alipokwisha kupatana na wafanya kazi kuwapa kutwa dinari, aliwapeleka katika shamba lake la mizabibu.


Lakini Yesu akaufahamu uovu wao, akasema, Mbona mnanijaribu, enyi wanafiki?


Akawaambia, Ni ya nani sanamu hii, na anwani hii?


Wakaileta. Akawaambia, Ni ya nani sanamu hii na anwani hii? Wakamwambia, Ni ya Kaisari.


Nikasikia kama sauti katikati ya hao wenye uhai wanne, ikisema, Kibaba cha ngano kwa nusu rupia, na vibaba vitatu vya shayiri kwa nusu rupia, wala usiyadhuru mafuta wala divai.