Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 21:39 - Swahili Revised Union Version

Wakamkamata, wakamtupa nje ya shamba la mizabibu, wakamwua.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, wakamkamata, wakamtoa nje ya lile shamba la mizabibu, wakamuua.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, wakamkamata, wakamtoa nje ya lile shamba la mizabibu, wakamuua.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, wakamkamata, wakamtoa nje ya lile shamba la mizabibu, wakamuua.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivyo wakamchukua, wakamtupa nje ya shamba la mizabibu, wakamuua.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hivyo wakamchukua, wakamtupa nje ya shamba la mizabibu, wakamuua.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakamkamata, wakamtupa nje ya shamba la mizabibu, wakamwua.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 21:39
16 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini wale wakulima walipomwona yule mwana, wakasemezana wao kwa wao, Huyu ni mrithi; haya na tumwue, tuutwae urithi wake.


Basi atakapokuja yule bwana wa shamba la mizabibu, atawatendaje wale wakulima?


Yesu akamwambia, Rafiki, fanya ulilolijia. Wakaenda, wakanyosha mikono yao wakamkamata Yesu.


Nao waliomkamata Yesu wakampeleka kwa Kayafa, Kuhani Mkuu, walikokuwa wamekutanika waandishi na wazee.


Basi wale askari na yule jemadari na wale watumishi wa Wayahudi walimkamata Yesu, wakamfunga.


Basi Anasi akampeleka akiwa amefungwa kwa Kayafa, Kuhani Mkuu.


mtu huyu alipotolewa kwa shauri la Mungu lililokusudiwa, na kwa kujua kwake tangu zamani, ninyi mkamsulubisha kwa mikono ya watu wabaya, mkamwua;


jueni ninyi nyote na watu wote wa Israeli ya kuwa kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, ambaye ninyi mlimsulubisha, na Mungu akamfufua katika wafu, kwa jina hilo mtu huyu anasimama akiwa mzima mbele yenu.


Mungu wa baba zetu alimfufua Yesu, ambaye ninyi mlimwua mkimtundika katika mti.


Ni yupi katika manabii ambaye baba zenu hawakumwudhi? Nao waliwaua wale waliotabiri habari za kuja kwake yule Mwenye Haki; ambaye ninyi sasa mmekuwa wasaliti wake, mkamwua;


Mmehukumu mwenye haki mkamwua; wala hashindani nanyi.