Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 26:57 - Swahili Revised Union Version

57 Nao waliomkamata Yesu wakampeleka kwa Kayafa, Kuhani Mkuu, walikokuwa wamekutanika waandishi na wazee.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

57 Basi, hao watu waliomkamata Yesu walimpeleka nyumbani kwa Kayafa, kuhani mkuu, walikokusanyika waalimu wa sheria na wazee.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

57 Basi, hao watu waliomkamata Yesu walimpeleka nyumbani kwa Kayafa, kuhani mkuu, walikokusanyika waalimu wa sheria na wazee.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

57 Basi, hao watu waliomkamata Yesu walimpeleka nyumbani kwa Kayafa, kuhani mkuu, walikokusanyika waalimu wa sheria na wazee.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

57 Wale waliomkamata Isa wakampeleka kwa Kayafa, kuhani mkuu, mahali ambapo walimu wa Torati pamoja na wazee walikuwa wamekusanyika.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

57 Wale waliokuwa wamemkamata Isa wakampeleka kwa Kayafa, kuhani mkuu, mahali ambapo walimu wa Torati pamoja na wazee walikuwa wamekusanyika.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

57 Nao waliomkamata Yesu wakampeleka kwa Kayafa, Kuhani Mkuu, walikokuwa wamekutanika waandishi na wazee.

Tazama sura Nakili




Mathayo 26:57
7 Marejeleo ya Msalaba  

Wakati ule wakuu wa makuhani, na wazee wa watu, wakakusanyika katika behewa ya Kuhani Mkuu, jina lake Kayafa;


Mtu mmoja miongoni mwao, Kayafa, aliyekuwa Kuhani Mkuu mwaka ule, akawaambia, Ninyi hamjui neno lolote;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo