Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 18:24 - Swahili Revised Union Version

24 Basi Anasi akampeleka akiwa amefungwa kwa Kayafa, Kuhani Mkuu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Basi, Anasi akampeleka Yesu akiwa amefungwa, kwa kuhani mkuu Kayafa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Basi, Anasi akampeleka Yesu akiwa amefungwa, kwa kuhani mkuu Kayafa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Basi, Anasi akampeleka Yesu akiwa amefungwa, kwa kuhani mkuu Kayafa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Ndipo Anasi akampeleka Isa kwa kuhani mkuu Kayafa, akiwa bado amefungwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Ndipo Anasi akampeleka Isa kwa kuhani mkuu Kayafa, akiwa bado amefungwa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

24 Basi Anasi akampeleka akiwa amefungwa kwa Kayafa, Kuhani Mkuu.

Tazama sura Nakili




Yohana 18:24
4 Marejeleo ya Msalaba  

Nao waliomkamata Yesu wakampeleka kwa Kayafa, Kuhani Mkuu, walikokuwa wamekutanika waandishi na wazee.


wakati wa ukuhani mkuu wa Anasi na Kayafa, neno la Mungu lilimfikia Yohana, mwana wa Zakaria, jangwani.


Wakampeleka kwa Anasi kwanza; maana alikuwa baba mkwe wa Kayafa, yule aliyekuwa Kuhani Mkuu mwaka ule.


Wakamfuata Yesu, Petro na mwanafunzi mwingine. Na mwanafunzi huyo alikuwa amejulikana na Kuhani Mkuu, akaingia pamoja na Yesu katika ukumbi wa Kuhani Mkuu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo