Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 18:23 - Swahili Revised Union Version

23 Yesu akamjibu, Kama nimesema vibaya, ushuhudie ule ubaya; bali kama nimesema vema, wanipigia nini?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Yesu akamjibu, “Kama nimesema vibaya, onesha huo ubaya; lakini ikiwa nimesema vema, mbona wanipiga?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Yesu akamjibu, “Kama nimesema vibaya, onesha huo ubaya; lakini ikiwa nimesema vema, mbona wanipiga?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Yesu akamjibu, “Kama nimesema vibaya, onesha huo ubaya; lakini ikiwa nimesema vema, mbona wanipiga?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Isa akamjibu akasema, “Kama nimesema jambo baya, shuhudia huo ubaya niliousema. Lakini kama nimesema yaliyo kweli, mbona umenipiga?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Isa akamjibu akasema, “Kama nimesema jambo baya, shuhudia huo ubaya niliousema. Lakini kama nimesema yaliyo kweli, mbona umenipiga?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

23 Yesu akamjibu, Kama nimesema vibaya, ushuhudie ule ubaya; bali kama nimesema vema, wanipigia nini?

Tazama sura Nakili




Yohana 18:23
4 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini mimi nawaambia, Msishindane na mtu mwovu; lakini mtu akupigaye shavu la kulia, mgeuzie na la pili.


Basi, mimi Paulo mwenyewe nawasihi kwa upole na utaratibu wa Kristo; mimi niliye mnyenyekevu nikiwapo pamoja nanyi, bali nisipokuwapo ni mwenye ujasiri kwenu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo