Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 26:50 - Swahili Revised Union Version

50 Yesu akamwambia, Rafiki, fanya ulilolijia. Wakaenda, wakanyosha mikono yao wakamkamata Yesu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

50 Yesu akamwambia, “Rafiki, fanya ulichokuja kufanya.” Hapo wale watu wakaja, wakamkamata Yesu, wakamtia nguvuni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

50 Yesu akamwambia, “Rafiki, fanya ulichokuja kufanya.” Hapo wale watu wakaja, wakamkamata Yesu, wakamtia nguvuni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

50 Yesu akamwambia, “Rafiki, fanya ulichokuja kufanya.” Hapo wale watu wakaja, wakamkamata Yesu, wakamtia nguvuni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

50 Isa akamwambia, “Rafiki, fanya kile ulichokuja kufanya hapa.” Kisha wale watu wakasogea mbele, wakamkamata Isa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

50 Isa akamwambia, “Rafiki, fanya kile ulichokuja kufanya hapa.” Kisha wale watu wakasogea mbele, wakamkamata Isa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

50 Yesu akamwambia, Rafiki, fanya ulilolijia. Wakaenda, wakanyosha mikono yao wakamkamata Yesu.

Tazama sura Nakili




Mathayo 26:50
6 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Absalomu akamwambia Hushai, Je! Huu ndio wema wako kwa rafiki yako? Mbona hukutoka pamoja na rafiki yako?


Hata rafiki yangu mwandani niliyemtumaini, Aliyekula pamoja nami, Ameniinulia kisigino chake.


Naye akamjibu mmoja wao, akamwambia, Rafiki, sikudhulumu; hukupatana nami kwa dinari?


Akamwambia, Rafiki, uliingiaje humu nawe huna vazi la arusi? Naye akatekewa.


Yesu akamwambia, Yuda, wamsaliti Mwana wa Adamu kwa kumbusu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo