Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 16:7 - Swahili Revised Union Version

Wakabishana wao kwa wao, wakisema, Ni kwa sababu hatukuchukua mikate.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini wao wakawa wanajadiliana: “Anasema hivyo kwa kuwa hatukuchukua mikate.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini wao wakawa wanajadiliana: “Anasema hivyo kwa kuwa hatukuchukua mikate.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini wao wakawa wanajadiliana: “Anasema hivyo kwa kuwa hatukuchukua mikate.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakajadiliana wao kwa wao, wakisema, “Ni kwa sababu hatukuleta mikate.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakajadiliana wao kwa wao, wakisema, “Ni kwa sababu hatukuleta mikate.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakabishana wao kwa wao, wakisema, Ni kwa sababu hatukuchukua mikate.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 16:7
9 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akawaambia, Angalieni, jilindeni na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo.


Naye Yesu akafahamu, akawaambia, Mbona mnabishana ninyi kwa ninyi, enyi wa imani haba, kwa sababu hamna mikate?


Ubatizo wa Yohana ulitoka wapi? Ulitoka mbinguni, au kwa wanadamu? Wakahojiana wao kwa wao, wakisema, Tukisema, Ulitoka mbinguni, atatuambia, Mbona basi hamkumwamini?


Wakalishika neno lile, wakiulizana wao kwa wao, Huko kufufuka katika wafu maana yake nini?


Ikawa katika kuzungumza na kuulizana kwao, Yesu mwenyewe alikaribia, akaandamana nao.


Wakaanza kuhojiana, ni nani atakayekuwa mkubwa miongoni mwao.


Lakini Petro akasema, La, hasha! Bwana, kwa maana sijawahi kula kitu kilicho kichafu au najisi.