Mathayo 16:7 - Swahili Revised Union Version7 Wakabishana wao kwa wao, wakisema, Ni kwa sababu hatukuchukua mikate. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Lakini wao wakawa wanajadiliana: “Anasema hivyo kwa kuwa hatukuchukua mikate.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Lakini wao wakawa wanajadiliana: “Anasema hivyo kwa kuwa hatukuchukua mikate.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Lakini wao wakawa wanajadiliana: “Anasema hivyo kwa kuwa hatukuchukua mikate.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Wakajadiliana wao kwa wao, wakisema, “Ni kwa sababu hatukuleta mikate.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Wakajadiliana wao kwa wao, wakisema, “Ni kwa sababu hatukuleta mikate.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI7 Wakabishana wao kwa wao, wakisema, Ni kwa sababu hatukuchukua mikate. Tazama sura |