Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 16:7 - Swahili Revised Union Version

7 Wakabishana wao kwa wao, wakisema, Ni kwa sababu hatukuchukua mikate.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Lakini wao wakawa wanajadiliana: “Anasema hivyo kwa kuwa hatukuchukua mikate.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Lakini wao wakawa wanajadiliana: “Anasema hivyo kwa kuwa hatukuchukua mikate.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Lakini wao wakawa wanajadiliana: “Anasema hivyo kwa kuwa hatukuchukua mikate.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Wakajadiliana wao kwa wao, wakisema, “Ni kwa sababu hatukuleta mikate.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Wakajadiliana wao kwa wao, wakisema, “Ni kwa sababu hatukuleta mikate.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Wakabishana wao kwa wao, wakisema, Ni kwa sababu hatukuchukua mikate.

Tazama sura Nakili




Mathayo 16:7
9 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akawaambia, Angalieni, jilindeni na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo.


Naye Yesu akafahamu, akawaambia, Mbona mnabishana ninyi kwa ninyi, enyi wa imani haba, kwa sababu hamna mikate?


Ubatizo wa Yohana ulitoka wapi? Ulitoka mbinguni, au kwa wanadamu? Wakahojiana wao kwa wao, wakisema, Tukisema, Ulitoka mbinguni, atatuambia, Mbona basi hamkumwamini?


Wakalishika neno lile, wakiulizana wao kwa wao, Huko kufufuka katika wafu maana yake nini?


Ikawa katika kuzungumza na kuulizana kwao, Yesu mwenyewe alikaribia, akaandamana nao.


Wakaanza kuhojiana, ni nani atakayekuwa mkubwa miongoni mwao.


Lakini Petro akasema, La, hasha! Bwana, kwa maana sijawahi kula kitu kilicho kichafu au najisi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo