Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 16:6 - Swahili Revised Union Version

6 Yesu akawaambia, Angalieni, jilindeni na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Yesu akawaambia, “Muwe macho na mjihadhari na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Yesu akawaambia, “Muwe macho na mjihadhari na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Yesu akawaambia, “Muwe macho na mjihadhari na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Isa akawaambia, “Jihadharini. Jilindeni na chachu ya Mafarisayo na ya Masadukayo.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Isa akawaambia, “Jihadharini. Jilindeni na chachu ya Mafarisayo na ya Masadukayo.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Yesu akawaambia, Angalieni, jilindeni na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo.

Tazama sura Nakili




Mathayo 16:6
15 Marejeleo ya Msalaba  

Sadaka ya unga yoyote itakayosongezwa kwa BWANA isitiwe chachu kabisa; kwa kuwa hamtateketeza chachu, wala asali yoyote, kuwa ni sadaka ya kusongezwa kwa BWANA kwa njia ya moto.


Wakamjia Mafarisayo na Masadukayo, wakamjaribu, wakamwomba awaoneshe ishara itokayo mbinguni.


Imekuwaje hamkufahamu ya kuwa sikuwaambia kwa sababu ya mkate? Ila jilindeni na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo.


Ndipo walipofahamu ya kuwa hakuwaambia kujilinda na chachu ya mkate, bali na mafundisho ya Mafarisayo na Masadukayo.


Nao wanafunzi wakaenda hadi ng'ambo, wakasahau kuchukua mikate.


Wakabishana wao kwa wao, wakisema, Ni kwa sababu hatukuchukua mikate.


Na alipoona wengi miongoni mwa Mafarisayo na Masadukayo wakiujia ubatizo wake, aliwaambia, Enyi wazawa wa nyoka, ni nani aliyewaonya ninyi kuikimbia hasira itakayokuja?


Akawaagiza, akasema, Angalieni, jihadharini na chachu ya Mafarisayo na chachu ya Herode.


Wakati huo, makutano walipokutanika maelfu, hata wakakanyagana, alianza kuwaambia wanafunzi wake kwanza, Jilindeni na chachu ya Mafarisayo, ambayo ni unafiki.


Akawaambia, Angalieni, jilindeni na choyo, maana uzima wa mtu haumo katika wingi wa vitu vyake alivyo navyo.


Basi wanafunzi wake wakasemezana, Je! Mtu amemletea chakula?


Chachu kidogo huchachua donge zima.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo