Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 9:10 - Swahili Revised Union Version

10 Wakalishika neno lile, wakiulizana wao kwa wao, Huko kufufuka katika wafu maana yake nini?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Basi, wakashika agizo hilo, lakini wakawa wanajadiliana wao kwa wao maana ya kufufuka kutoka kwa wafu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Basi, wakashika agizo hilo, lakini wakawa wanajadiliana wao kwa wao maana ya kufufuka kutoka kwa wafu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Basi, wakashika agizo hilo, lakini wakawa wanajadiliana wao kwa wao maana ya kufufuka kutoka kwa wafu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Wakalihifadhi jambo hilo wao wenyewe, lakini wakawa wanajiuliza, “Huku kufufuka kwa wafu maana yake nini?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Wakalihifadhi jambo hilo wao wenyewe, lakini wakawa wanajiuliza, “Huku kufufuka kwa wafu maana yake nini?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Wakalishika neno lile, wakiulizana wao kwa wao, Huko kufufuka katika wafu maana yake nini?

Tazama sura Nakili




Marko 9:10
15 Marejeleo ya Msalaba  

Ndugu zake wakamhusudu; bali baba yake akalihifadhi neno hili.


Petro akamchukua, akaanza kumkemea, akisema, La hasha! Bwana, hayo hayatakupata.


Wakamwuliza, wakisema, Mbona waandishi hunena ya kwamba imempasa Eliya kuja kwanza?


Lakini hawakulifahamu neno lile, wakaogopa kumwuliza.


Na walipokuwa wakishuka mlimani aliwakataza wasimweleze mtu waliyoyaona, hadi Mwana wa Adamu atakapokuwa amefufuka katika wafu.


Mambo hayo wanafunzi wake hawakuyafahamu hapo kwanza; lakini Yesu alipotukuzwa, ndipo walipokumbuka ya kwamba ameandikiwa hayo, na ya kwamba walimtendea hayo.


Na baadhi ya Waepikureo na Wastoiko, wenye ujuzi, wakakutana naye. Wengine wakasema, Mpuzi huyu anataka kusema nini? Wengine walisema, Anaonekana kuwa mtangaza habari za miungu migeni, kwa maana alikuwa akihubiri habari za Yesu na ufufuo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo