Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 9:11 - Swahili Revised Union Version

11 Wakamwuliza, wakisema, Mbona waandishi hunena ya kwamba imempasa Eliya kuja kwanza?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Wakamwuliza Yesu, “Mbona waalimu wa sheria wanasema ni lazima kwanza Elia aje?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Wakamwuliza Yesu, “Mbona waalimu wa sheria wanasema ni lazima kwanza Elia aje?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Wakamwuliza Yesu, “Mbona waalimu wa sheria wanasema ni lazima kwanza Elia aje?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Wakamuuliza, “Kwa nini walimu wa Torati husema kwamba ni lazima Ilya aje kwanza?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Wakamuuliza, “Kwa nini walimu wa Torati husema kwamba ni lazima Ilya aje kwanza?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Wakamwuliza, wakisema, Mbona waandishi hunena ya kwamba imempasa Eliya kuja kwanza?

Tazama sura Nakili




Marko 9:11
6 Marejeleo ya Msalaba  

Angalieni, namtuma mjumbe wangu, naye ataitengeneza njia mbele yangu; naye Bwana mnayemtafuta atalijia katika hekalu lake ghafla; naam, yule mjumbe wa agano mnayemfurahia, angalieni, anakuja, asema BWANA wa majeshi.


Angalieni, nitawatumia Eliya nabii, kabla siku ile ya BWANA, iliyo kuu na ya kuogofya haijafika.


Na ikiwa mnataka kukubali, yeye ndiye Eliya atakayekuja.


Wakalishika neno lile, wakiulizana wao kwa wao, Huko kufufuka katika wafu maana yake nini?


Wakatokewa na Eliya pamoja na Musa, nao walikuwa wakizungumza na Yesu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo