Marko 9:11 - Swahili Revised Union Version11 Wakamwuliza, wakisema, Mbona waandishi hunena ya kwamba imempasa Eliya kuja kwanza? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Wakamwuliza Yesu, “Mbona waalimu wa sheria wanasema ni lazima kwanza Elia aje?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Wakamwuliza Yesu, “Mbona waalimu wa sheria wanasema ni lazima kwanza Elia aje?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Wakamwuliza Yesu, “Mbona waalimu wa sheria wanasema ni lazima kwanza Elia aje?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Wakamuuliza, “Kwa nini walimu wa Torati husema kwamba ni lazima Ilya aje kwanza?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Wakamuuliza, “Kwa nini walimu wa Torati husema kwamba ni lazima Ilya aje kwanza?” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI11 Wakamwuliza, wakisema, Mbona waandishi hunena ya kwamba imempasa Eliya kuja kwanza? Tazama sura |