Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 15:25 - Swahili Revised Union Version

Naye akaja akamsujudia, akisema Bwana, unisaidie.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hapo huyo mama akaja, akamsujudia, akasema, “Bwana, nisaidie.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hapo huyo mama akaja, akamsujudia, akasema, “Bwana, nisaidie.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hapo huyo mama akaja, akamsujudia, akasema, “Bwana, nisaidie.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini yule mwanamke akaja, akapiga magoti mbele ya Isa, akasema, “Bwana, nisaidie!”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini yule mwanamke akaja, akapiga magoti mbele ya Isa, akasema, “Bwana, nisaidie!”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye akaja akamsujudia, akisema Bwana, unisaidie.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 15:25
10 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Niache, niende, maana kunapambazuka. Akasema, Sikuachi, usiponibariki.


Naam, alishindana na malaika Akashinda; alilia, na kumsihi; Alimwona huko Betheli, naye akasema nasi huko;


Nao waliokuwamo ndani ya mashua wakamsujudia, wakisema, Hakika wewe u Mwana wa Mungu.


Akajibu, akasema, Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.


Mkutano wakawakaripia, wanyamaze. Lakini wao wakazidi kupaza sauti, wakisema, Uturehemu, Bwana, mwana wa Daudi!


Na tazama, akaja mtu mwenye ukoma akamsujudia, akisema, Bwana, ukitaka, waweza kunitakasa.


Na mara nyingi amemtupa katika moto, na katika maji, amwangamize; lakini ukiweza neno lolote, utuhurumie, na kutusaidia.


Mara babaye yule kijana akapaza sauti, akasema, Naamini, nisaidie kutoamini kwangu.