Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 15:25 - Swahili Revised Union Version

25 Naye akaja akamsujudia, akisema Bwana, unisaidie.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Hapo huyo mama akaja, akamsujudia, akasema, “Bwana, nisaidie.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Hapo huyo mama akaja, akamsujudia, akasema, “Bwana, nisaidie.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Hapo huyo mama akaja, akamsujudia, akasema, “Bwana, nisaidie.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Lakini yule mwanamke akaja, akapiga magoti mbele ya Isa, akasema, “Bwana, nisaidie!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Lakini yule mwanamke akaja, akapiga magoti mbele ya Isa, akasema, “Bwana, nisaidie!”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Naye akaja akamsujudia, akisema Bwana, unisaidie.

Tazama sura Nakili




Mathayo 15:25
10 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Niache, niende, maana kunapambazuka. Akasema, Sikuachi, usiponibariki.


Naam, alishindana na malaika Akashinda; alilia, na kumsihi; Alimwona huko Betheli, naye akasema nasi huko;


Nao waliokuwamo ndani ya mashua wakamsujudia, wakisema, Hakika wewe u Mwana wa Mungu.


Akajibu, akasema, Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.


Mkutano wakawakaripia, wanyamaze. Lakini wao wakazidi kupaza sauti, wakisema, Uturehemu, Bwana, mwana wa Daudi!


Na tazama, akaja mtu mwenye ukoma akamsujudia, akisema, Bwana, ukitaka, waweza kunitakasa.


Na mara nyingi amemtupa katika moto, na katika maji, amwangamize; lakini ukiweza neno lolote, utuhurumie, na kutusaidia.


Mara babaye yule kijana akapaza sauti, akasema, Naamini, nisaidie kutoamini kwangu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo