Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 9:22 - Swahili Revised Union Version

22 Na mara nyingi amemtupa katika moto, na katika maji, amwangamize; lakini ukiweza neno lolote, utuhurumie, na kutusaidia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Na mara nyingi pepo huyo amemwangusha motoni na majini, ili amwangamize kabisa. Basi, ikiwa waweza, utuhurumie na kutusaidia!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Na mara nyingi pepo huyo amemwangusha motoni na majini, ili amwangamize kabisa. Basi, ikiwa waweza, utuhurumie na kutusaidia!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Na mara nyingi pepo huyo amemwangusha motoni na majini, ili amwangamize kabisa. Basi, ikiwa waweza, utuhurumie na kutusaidia!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Mara kwa mara huyo pepo mchafu amekuwa akimwangusha kwenye moto au kwenye maji ili kumwangamiza. Lakini kama unaweza kufanya jambo lolote, tafadhali tuhurumie utusaidie.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Mara kwa mara huyo pepo mchafu amekuwa akimwangusha kwenye moto au kwenye maji ili kumwangamiza. Lakini kama unaweza kufanya jambo lolote, tafadhali tuhurumie utusaidie.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

22 Na mara nyingi amemtupa katika moto, na katika maji, amwangamize; lakini ukiweza neno lolote, utuhurumie, na kutusaidia.

Tazama sura Nakili




Marko 9:22
12 Marejeleo ya Msalaba  

Mara Yesu akanyosha mkono wake, akamshika, akamwambia, Ewe mwenye imani haba, mbona uliona shaka?


Bwana, umrehemu mwanangu, kwa kuwa ana kifafa, na kuteswa vibaya; maana mara nyingi huanguka motoni, na mara nyingi majini.


Yesu akawahurumia, akawagusa macho yao; mara wakapata kuona, wakamfuata.


Na tazama, akaja mtu mwenye ukoma akamsujudia, akisema, Bwana, ukitaka, waweza kunitakasa.


Naye alipofika nyumbani, wale vipofu walimwendea; Yesu akawaambia, Mnaamini kwamba naweza kufanya hili? Wakamwambia, Naam, Bwana.


lakini hakumruhusu, bali alimwambia, Nenda zako nyumbani kwako, kwa watu wa kwenu, kawahubirie ni mambo gani makuu aliyokutendea Bwana, na jinsi alivyokurehemu.


Akamwuliza babaye, Amepatwa na haya tangu lini? Akasema, Tangu utoto.


Yesu akamwambia, Ukiweza! Yote yawezekana kwake aaminiye.


Bwana alipomwona alimwonea huruma, akamwambia, Usilie.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo