Mathayo 14:33 - Swahili Revised Union Version33 Nao waliokuwamo ndani ya mashua wakamsujudia, wakisema, Hakika wewe u Mwana wa Mungu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema33 Wote waliokuwa ndani ya mashua walimsujudia, wakasema, “Hakika wewe ni Mwana wa Mungu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND33 Wote waliokuwa ndani ya mashua walimsujudia, wakasema, “Hakika wewe ni Mwana wa Mungu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza33 Wote waliokuwa ndani ya mashua walimsujudia, wakasema, “Hakika wewe ni Mwana wa Mungu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu33 Ndipo wote waliokuwa ndani ya ile mashua wakamwabudu Isa, wakisema, “Hakika, wewe ndiwe Mwana wa Mungu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu33 Ndipo wote waliokuwa ndani ya ile mashua wakamwabudu Isa, wakisema, “Hakika, wewe ndiwe Mwana wa Mungu.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI33 Nao waliokuwamo ndani ya mashua wakamsujudia, wakisema, Hakika wewe u Mwana wa Mungu. Tazama sura |