Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 14:32 - Swahili Revised Union Version

32 Nao walipopanda katika mashua, upepo ulikoma.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Kisha wakapanda mashuani, na upepo ukatulia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Kisha wakapanda mashuani, na upepo ukatulia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Kisha wakapanda mashuani, na upepo ukatulia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Nao walipoingia ndani ya mashua, upepo ukakoma.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Nao walipoingia ndani ya mashua, upepo ukakoma.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

32 Nao walipopanda katika mashua, upepo ulikoma.

Tazama sura Nakili




Mathayo 14:32
6 Marejeleo ya Msalaba  

Mara Yesu akanyosha mkono wake, akamshika, akamwambia, Ewe mwenye imani haba, mbona uliona shaka?


Nao waliokuwamo ndani ya mashua wakamsujudia, wakisema, Hakika wewe u Mwana wa Mungu.


Wakaingiwa na hofu kuu, wakaambiana, Ni nani huyu, basi, hata upepo na bahari humtii?


Akapanda mle katika mashua walimo; upepo ukakoma; wakashangaa sana mioyoni mwao;


Basi wakataka kumpokea katika mashua; na mara hiyo mashua ikaifikia nchi waliyokuwa wakiiendea.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo