Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 15:16 - Swahili Revised Union Version

Yesu akasema, Hata sasa ninyi nanyi mngali hamna akili?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akasema, “Hata nyinyi hamwelewi?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akasema, “Hata nyinyi hamwelewi?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akasema, “Hata nyinyi hamwelewi?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akawauliza, “Je, bado ninyi hamfahamu?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akawauliza, “Je, bado ninyi hamfahamu?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yesu akasema, Hata sasa ninyi nanyi mngali hamna akili?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 15:16
15 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu aliwauliza, Mmeyafahamu hayo yote? Wakamwambia, Naam.


Akawaita makutano akawaambia


Basi Petro akajibu, akamwambia, Tueleze mfano huo.


Hamjafahamu bado ya kuwa kila kiingiacho kinywani hupita tumboni, kikatupwa chooni?


Imekuwaje hamkufahamu ya kuwa sikuwaambia kwa sababu ya mkate? Ila jilindeni na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo.


Hamjafahamu bado, wala hamkumbuki ile mikate mitano kwa wale elfu tano, na vikapu vingapi mlivyoviokota?


kwa maana hawakufahamu habari za ile mikate, lakini mioyo yao ilikuwa mizito.


Akawaambia, Hivi hata ninyi hamna akili? Hamfahamu ya kwamba kila kitu kilicho nje ya mtu, kikimwingia, hakiwezi kumtia unajisi;


Lakini hawakulifahamu neno lile, wakaogopa kumwuliza.


Lakini hawakuelewa maneno hayo hata kidogo, na jambo hilo lilikuwa limefichwa kwao, wala hawakufahamu yaliyonenwa.


Ndipo akawafunua akili zao wapate kuelewa maandiko.


Lakini hawakulifahamu neno lile, likafichwa kwao wasilitambue; wakaogopa kumwuliza maana yake neno lile.


Kwa maana, iwapasapo kuwa waalimu, (maana wakati mwingi umepita), mnahitaji kufundishwa na mtu mafundisho ya kwanza ya maneno ya Mungu; nanyi mmekuwa mnahitaji maziwa wala si chakula kigumu.