Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 24:45 - Swahili Revised Union Version

45 Ndipo akawafunua akili zao wapate kuelewa maandiko.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

45 Kisha, akaziangazia akili zao ili wapate kuelewa Maandiko Matakatifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

45 Kisha, akaziangazia akili zao ili wapate kuelewa Maandiko Matakatifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

45 Kisha, akaziangazia akili zao ili wapate kuelewa Maandiko Matakatifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

45 Ndipo akafungua fahamu zao ili waweze kuyaelewa Maandiko Matakatifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

45 Ndipo akafungua fahamu zao ili waweze kuyaelewa Maandiko.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

45 Ndipo akawafunua akili zao wapate kuelewa maandiko.

Tazama sura Nakili




Luka 24:45
13 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo huyafunua masikio ya watu, Na kuyatia mhuri mafundisho yao,


Unifumbue macho yangu niyatazame Maajabu yatokayo katika sheria yako.


BWANA akamwambia, Ni nani aliyekifanya kinywa cha mwanadamu? Au ni nani afanyaye mtu kuwa bubu au kiziwi, au mwenye kuona, au kuwa kipofu? Si mimi, BWANA?


Wakaambiana, Je! Mioyo yetu haikuwaka ndani yetu hapo alipokuwa akisema nasi njiani, na kutufunulia Maandiko?


Mwanamke mmoja, jina lake Lidia, mwenye kuuza rangi ya zambarau, mwenyeji wa Thiatira, mcha Mungu, akatusikiliza, ambaye moyo wake ulifunguliwa na Bwana, ayatunze maneno yaliyonenwa na Paulo.


uwafumbue macho yao, na kuwageuza waiache giza na kuielekea nuru, waziache na nguvu za Shetani na kumwelekea Mungu; kisha wapate msamaha wa dhambi zao, na urithi miongoni mwao waliotakaswa kwa imani iliyo kwangu mimi.


Hivyo husema, Amka, wewe usinziaye, Ufufuke katika wafu, Na Kristo atakuangaza.


Nasi tunajua kwamba Mwana wa Mungu amekwisha kuja, naye ametupa akili kwamba tumjue yeye aliye wa kweli, nasi tumo ndani yake yeye aliye wa kweli, yaani, ndani ya Mwana wake Yesu Kristo. Huyu ndiye Mungu wa kweli, na uzima wa milele.


Na kwa malaika wa kanisa lililoko Filadelfia andika; Haya ndiyo anenayo yeye aliye mtakatifu, aliye wa kweli, aliye na ufunguo wa Daudi, yeye mwenye kufungua wala hapana afungaye, naye afunga wala hapana afunguaye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo