Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 9:45 - Swahili Revised Union Version

45 Lakini hawakulifahamu neno lile, likafichwa kwao wasilitambue; wakaogopa kumwuliza maana yake neno lile.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

45 Lakini wao hawakuelewa maana ya usemi huo. Jambo hilo lilikuwa limefichwa kwao ili wasitambue; nao wakaogopa kumwuliza juu ya msemo huo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

45 Lakini wao hawakuelewa maana ya usemi huo. Jambo hilo lilikuwa limefichwa kwao ili wasitambue; nao wakaogopa kumwuliza juu ya msemo huo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

45 Lakini wao hawakuelewa maana ya usemi huo. Jambo hilo lilikuwa limefichwa kwao ili wasitambue; nao wakaogopa kumwuliza juu ya msemo huo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

45 Lakini wao hawakuelewa alimaanisha nini. Maana ya maneno hayo ilifichika kwao, hivyo hawakuyaelewa, nao wakaogopa kumuuliza maana yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

45 Lakini wao hawakuelewa alimaanisha nini. Maana ya maneno hayo ilifichika kwao, hivyo hawakuyaelewa, nao wakaogopa kumuuliza maana yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

45 Lakini hawakulifahamu neno lile, likafichwa kwao wasilitambue; wakaogopa kumwuliza maana yake neno lile.

Tazama sura Nakili




Luka 9:45
15 Marejeleo ya Msalaba  

Petro akamchukua, akaanza kumkemea, akisema, La hasha! Bwana, hayo hayatakupata.


Nao walipokuwa wakikaa Galilaya, Yesu akawaambia, Mwana wa Adamu anakwenda kutiwa katika mikono ya watu, nao watamwua, na siku ya tatu atafufuka.


Wakalishika neno lile, wakiulizana wao kwa wao, Huko kufufuka katika wafu maana yake nini?


Lakini hawakulifahamu neno lile, wakaogopa kumwuliza.


Lakini hawakuelewa maneno hayo hata kidogo, na jambo hilo lilikuwa limefichwa kwao, wala hawakufahamu yaliyonenwa.


Nao hawakuelewa neno hilo alilowaambia.


Wakaanza kuhojiana, ni nani atakayekuwa mkubwa miongoni mwao.


Mambo hayo wanafunzi wake hawakuyafahamu hapo kwanza; lakini Yesu alipotukuzwa, ndipo walipokumbuka ya kwamba ameandikiwa hayo, na ya kwamba walimtendea hayo.


Basi mkutano wakamjibu, Sisi tumesikia katika torati ya kwamba Kristo adumu hata milele; nawe wasemaje ya kwamba imempasa Mwana wa Adamu kuinuliwa? Huyu Mwana wa Adamu ni nani?


Tomaso akamwambia, Bwana, sisi hatujui uendako; nasi tunaijuaje njia?


Basi wanafunzi wake wakasemezana, Je! Mtu amemletea chakula?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo