Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 14:32 - Swahili Revised Union Version

Nao walipopanda katika mashua, upepo ulikoma.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha wakapanda mashuani, na upepo ukatulia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha wakapanda mashuani, na upepo ukatulia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha wakapanda mashuani, na upepo ukatulia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nao walipoingia ndani ya mashua, upepo ukakoma.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nao walipoingia ndani ya mashua, upepo ukakoma.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nao walipopanda katika mashua, upepo ulikoma.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 14:32
6 Marejeleo ya Msalaba  

Mara Yesu akanyosha mkono wake, akamshika, akamwambia, Ewe mwenye imani haba, mbona uliona shaka?


Nao waliokuwamo ndani ya mashua wakamsujudia, wakisema, Hakika wewe u Mwana wa Mungu.


Wakaingiwa na hofu kuu, wakaambiana, Ni nani huyu, basi, hata upepo na bahari humtii?


Akapanda mle katika mashua walimo; upepo ukakoma; wakashangaa sana mioyoni mwao;


Basi wakataka kumpokea katika mashua; na mara hiyo mashua ikaifikia nchi waliyokuwa wakiiendea.