Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 6:21 - Swahili Revised Union Version

21 Basi wakataka kumpokea katika mashua; na mara hiyo mashua ikaifikia nchi waliyokuwa wakiiendea.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Basi wakataka kumchukua Yesu katika mashua; na mara mashua ikawasili nchi kavu walikokuwa wanakwenda.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Basi wakataka kumchukua Yesu katika mashua; na mara mashua ikawasili nchi kavu walikokuwa wanakwenda.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Basi wakataka kumchukua Yesu katika mashua; na mara mashua ikawasili nchi kavu walikokuwa wanakwenda.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Ndipo wakamkaribisha kwa furaha ndani ya mashua, na mara wakafika ufuoni walikokuwa wakienda.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Ndipo wakamkaribisha kwa furaha ndani ya mashua, na mara wakafika ufuoni walikokuwa wakienda.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Basi wakataka kumpokea katika mashua; na mara hiyo mashua ikaifikia nchi waliyokuwa wakiiendea.

Tazama sura Nakili




Yohana 6:21
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kitambo kidogo tu nilipoachana nao, Nikamwona mpendwa wa nafsi yangu; Nikamshika, nisimwache tena, Hata nilipomleta nyumbani mwa mamangu, Chumbani mwake aliyenizaa.


Akapanda mle katika mashua walimo; upepo ukakoma; wakashangaa sana mioyoni mwao;


Naye akawaambia, Ni mimi, msiogope.


Kesho yake mkutano waliosimama ng'ambo ya bahari waliona ya kuwa hakuna mashua nyingine huko ila moja, tena ya kuwa Yesu hakuingia katika mashua ile pamoja na wanafunzi wake, bali wanafunzi wake walikwenda peke yao,


Tazama, nasimama mlangoni, nabisha; mtu akiisikia sauti yangu, na kuufungua mlango, nitaingia kwake, nami nitakula pamoja naye, na yeye pamoja nami.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo