Yohana 6:21 - Swahili Revised Union Version21 Basi wakataka kumpokea katika mashua; na mara hiyo mashua ikaifikia nchi waliyokuwa wakiiendea. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Basi wakataka kumchukua Yesu katika mashua; na mara mashua ikawasili nchi kavu walikokuwa wanakwenda. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Basi wakataka kumchukua Yesu katika mashua; na mara mashua ikawasili nchi kavu walikokuwa wanakwenda. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Basi wakataka kumchukua Yesu katika mashua; na mara mashua ikawasili nchi kavu walikokuwa wanakwenda. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Ndipo wakamkaribisha kwa furaha ndani ya mashua, na mara wakafika ufuoni walikokuwa wakienda. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Ndipo wakamkaribisha kwa furaha ndani ya mashua, na mara wakafika ufuoni walikokuwa wakienda. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI21 Basi wakataka kumpokea katika mashua; na mara hiyo mashua ikaifikia nchi waliyokuwa wakiiendea. Tazama sura |