Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 6:20 - Swahili Revised Union Version

20 Naye akawaambia, Ni mimi, msiogope.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Yesu akawaambia, “Ni mimi, msiogope!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Yesu akawaambia, “Ni mimi, msiogope!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Yesu akawaambia, “Ni mimi, msiogope!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Lakini Isa akawaambia, “Ni mimi. Msiogope.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Lakini Isa akawaambia, “Ni mimi. Msiogope.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 Naye akawaambia, Ni mimi, msiogope.

Tazama sura Nakili




Yohana 6:20
11 Marejeleo ya Msalaba  

Uutoe na mkuki uwapinge wanaonifuatia, Uiambie nafsi yangu, Mimi ni wokovu wako.


usiogope, kwa maana mimi ni pamoja nawe; usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, naam, nitakushika kwa mkono wa kulia wa haki yangu.


Usiogope, Yakobo uliye mdudu, nanyi watu wa Israeli; mimi nitakusaidia, asema BWANA, na mkombozi wako ni Mtakatifu wa Israeli.


Msiogope wala msifanye hofu; je! Sikukuambia haya zamani na kuyatangaza? Na ninyi ni mashahidi wangu. Je! Yuko Mungu zaidi yangu mimi? Hakika hapana Mwamba; mimi sijui mwingine.


Naye akawaambia, Msistaajabu; mnamtafuta Yesu Mnazareti, aliyesulubiwa; amefufuka; hayupo hapa; patazameni mahali walipomweka.


kwa kuwa wote walimwona, wakafadhaika. Mara akasema nao, akawaambia, Changamkeni; ni mimi, msiogope.


Basi wakavuta makasia kadiri ya maili tatu nne, wakamwona Yesu anakwenda juu ya bahari na kuikaribia mashua; wakaogopa.


Basi wakataka kumpokea katika mashua; na mara hiyo mashua ikaifikia nchi waliyokuwa wakiiendea.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo