Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 14:22 - Swahili Revised Union Version

Mara akawalazimisha wanafunzi wake wapande katika mashua na kutangulia mbele yake kwenda ng'ambo, wakati yeye alipokuwa akiwaaga mkutano.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mara, Yesu akawaamuru wanafunzi wake wapande mashua, wamtangulie ngambo ya ziwa wakati yeye anayaaga makundi ya watu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mara, Yesu akawaamuru wanafunzi wake wapande mashua, wamtangulie ngambo ya ziwa wakati yeye anayaaga makundi ya watu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mara, Yesu akawaamuru wanafunzi wake wapande mashua, wamtangulie ng'ambo ya ziwa wakati yeye anayaaga makundi ya watu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mara Isa akawaambia wanafunzi wake waingie katika mashua wamtangulie kwenda ng’ambo ya bahari, wakati yeye alikuwa akiaga ule umati.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mara Isa akawaambia wanafunzi wake waingie kwenye mashua watangulie kwenda ng’ambo ya bahari, wakati yeye alikuwa akiwaaga wale makutano.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mara akawalazimisha wanafunzi wake wapande katika mashua na kutangulia mbele yake kwenda ng'ambo, wakati yeye alipokuwa akiwaaga mkutano.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 14:22
6 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha Yesu akawaaga makutano, akaingia katika nyumba; wanafunzi wake wakamwendea, wakasema, Tufafanulie mfano wa magugu ya shambani.


Nao waliokula walikuwa wanaume wapatao elfu tano, bila kuhesabu wanawake na watoto.


Akawaaga makutano, akapanda katika mashua, akaenda pande za Magadani.


Hata Sila na Timotheo walipoteremka kutoka Makedonia, Paulo akasongwa sana na lile neno, akiwashuhudia Wayahudi ya kwamba Yesu ni Kristo.