Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 13:36 - Swahili Revised Union Version

36 Kisha Yesu akawaaga makutano, akaingia katika nyumba; wanafunzi wake wakamwendea, wakasema, Tufafanulie mfano wa magugu ya shambani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Kisha Yesu aliwaaga wale watu, akaingia nyumbani. Wanafunzi wake wakamwendea, wakamwambia, “Tufafanulie ule mfano wa magugu shambani.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Kisha Yesu aliwaaga wale watu, akaingia nyumbani. Wanafunzi wake wakamwendea, wakamwambia, “Tufafanulie ule mfano wa magugu shambani.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Kisha Yesu aliwaaga wale watu, akaingia nyumbani. Wanafunzi wake wakamwendea, wakamwambia, “Tufafanulie ule mfano wa magugu shambani.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Kisha Isa akaagana na ule umati, akaingia nyumbani. Wanafunzi wake wakamjia wakamwambia, “Tueleze maana ya ule mfano wa magugu shambani.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Kisha Isa akaagana na makutano, akaingia nyumbani. Wanafunzi wake wakamjia wakamwambia, “Tueleze maana ya ule mfano wa magugu shambani.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

36 Kisha Yesu akawaaga makutano, akaingia katika nyumba; wanafunzi wake wakamwendea, wakasema, Tufafanulie mfano wa magugu ya shambani.

Tazama sura Nakili




Mathayo 13:36
13 Marejeleo ya Msalaba  

Siku ile Yesu akatoka nyumbani, akaketi kando ya bahari.


Akajibu, akawaambia, Ninyi mmejaliwa kuzijua siri za ufalme wa mbinguni, bali wao hawakujaliwa.


Basi ninyi sikilizeni mfano wa mpanzi.


lakini watu walipolala, akaja adui yake akapanda magugu katikati ya ngano, akaenda zake.


Mara akawalazimisha wanafunzi wake wapande katika mashua na kutangulia mbele yake kwenda ng'ambo, wakati yeye alipokuwa akiwaaga mkutano.


Akawaaga makutano, akapanda katika mashua, akaenda pande za Magadani.


Naye alipofika nyumbani, wale vipofu walimwendea; Yesu akawaambia, Mnaamini kwamba naweza kufanya hili? Wakamwambia, Naam, Bwana.


wala pasipo mfano hakusema nao; lakini akawaeleza wanafunzi wake mwenyewe mambo yote kwa faragha.


Mara akawalazimisha wanafunzi wake wapande mashuani, watangulie kwenda ng'ambo hata Bethsaida, wakati yeye alipokuwa akiwaaga mkutano.


Hata alipoingia nyumbani, ameuacha mkutano, wanafunzi wake wakamwuliza kuhusu ule mfano.


Na watu waliokula walikuwa elfu nne. Akawaaga.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo