Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 10:38 - Swahili Revised Union Version

Wala mtu asiyechukua msalaba wake akanifuata, hanistahili.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtu asiyechukua msalaba wake na kunifuata, hanistahili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtu asiyechukua msalaba wake na kunifuata, hanistahili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtu asiyechukua msalaba wake na kunifuata, hanistahili.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tena yeyote asiyeuchukua msalaba wake na kunifuata, hastahili kuwa wangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tena yeyote asiyeuchukua msalaba wake na kunifuata, hastahili kuwa wangu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wala mtu asiyechukua msalaba wake akanifuata, hanistahili.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 10:38
7 Marejeleo ya Msalaba  

Wakati huo Yesu aliwaambia wanafunzi wake, Mtu yeyote akitaka kunifuata, na ajikane mwenyewe, ajitwike msalaba wake, anifuate.


Walipokuwa wakitoka, wakamwona mtu Mkirene, jina lake Simoni; huyu wakamshurutisha auchukue msalaba wake.


Yesu akamkazia macho, akampenda, akamwambia, Umepungukiwa na neno moja. Nenda, ukauze ulivyo navyo vyote, uwape maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni; kisha njoo unifuate.


Akawaita mkutano pamoja na wanafunzi wake, akawaambia, Mtu yeyote akitaka kunifuata na ajikane mwenyewe, ajitwike na msalaba wake, anifuate.


Mtu yeyote asiyeuchukua msalaba wake na kuja nyuma yangu, hawezi kuwa mwanafunzi wangu.


Akatoka, huku akijichukulia msalaba wake, mpaka mahali paitwapo Fuvu la Kichwa, au kwa Kiebrania, Golgotha.