Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 14:27 - Swahili Revised Union Version

27 Mtu yeyote asiyeuchukua msalaba wake na kuja nyuma yangu, hawezi kuwa mwanafunzi wangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Mtu asiyechukua msalaba wake na kunifuata hawezi kuwa mwanafunzi wangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Mtu asiyechukua msalaba wake na kunifuata hawezi kuwa mwanafunzi wangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Mtu asiyechukua msalaba wake na kunifuata hawezi kuwa mwanafunzi wangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 Yeyote asiyeuchukua msalaba wake na kunifuata hawezi kuwa mwanafunzi wangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 Yeyote asiyeuchukua msalaba wake na kunifuata hawezi kuwa mwanafunzi wangu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

27 Mtu yeyote asiyeuchukua msalaba wake na kuja nyuma yangu, hawezi kuwa mwanafunzi wangu.

Tazama sura Nakili




Luka 14:27
12 Marejeleo ya Msalaba  

Wala mtu asiyechukua msalaba wake akanifuata, hanistahili.


lakini hana mizizi ndani yake, bali hudumu kwa muda; ikitukia dhiki au udhia kwa ajili ya lile neno, mara huchukizwa.


Yesu akamkazia macho, akampenda, akamwambia, Umepungukiwa na neno moja. Nenda, ukauze ulivyo navyo vyote, uwape maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni; kisha njoo unifuate.


Wakamshurutisha mtu aliyekuwa akipita, akitoka mashambani, Simoni Mkirene, baba yao Iskanda na Rufo, ili auchukue msalaba wake.


Maana ni nani katika ninyi, kama akitaka kujenga mnara, haketi kwanza na kuhesabu gharama, kwamba anavyo vya kuumalizia?


Akatoka, huku akijichukulia msalaba wake, mpaka mahali paitwapo Fuvu la Kichwa, au kwa Kiebrania, Golgotha.


wakifanya imara roho za wanafunzi na kuwahimiza wakae katika ile Imani, na ya kwamba imetupasa kuingia katika ufalme wa Mungu kwa njia ya dhiki nyingi.


Kwa sababu hiyo nimepatikana na mateso haya, lakini sitahayari; kwa maana namjua yeye niliyemwamini, na kusadiki ya kwamba aweza kukilinda kile nilichokiweka amana kwake hata siku ile.


Naam, na wote wapendao kuishi maisha ya utauwa katika Kristo Yesu wataudhiwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo