Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 10:38 - Swahili Revised Union Version

38 Wala mtu asiyechukua msalaba wake akanifuata, hanistahili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 Mtu asiyechukua msalaba wake na kunifuata, hanistahili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Mtu asiyechukua msalaba wake na kunifuata, hanistahili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Mtu asiyechukua msalaba wake na kunifuata, hanistahili.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 Tena yeyote asiyeuchukua msalaba wake na kunifuata, hastahili kuwa wangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 Tena yeyote asiyeuchukua msalaba wake na kunifuata, hastahili kuwa wangu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

38 Wala mtu asiyechukua msalaba wake akanifuata, hanistahili.

Tazama sura Nakili




Mathayo 10:38
7 Marejeleo ya Msalaba  

Wakati huo Yesu aliwaambia wanafunzi wake, Mtu yeyote akitaka kunifuata, na ajikane mwenyewe, ajitwike msalaba wake, anifuate.


Walipokuwa wakitoka, wakamwona mtu Mkirene, jina lake Simoni; huyu wakamshurutisha auchukue msalaba wake.


Yesu akamkazia macho, akampenda, akamwambia, Umepungukiwa na neno moja. Nenda, ukauze ulivyo navyo vyote, uwape maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni; kisha njoo unifuate.


Akawaita mkutano pamoja na wanafunzi wake, akawaambia, Mtu yeyote akitaka kunifuata na ajikane mwenyewe, ajitwike na msalaba wake, anifuate.


Mtu yeyote asiyeuchukua msalaba wake na kuja nyuma yangu, hawezi kuwa mwanafunzi wangu.


Akatoka, huku akijichukulia msalaba wake, mpaka mahali paitwapo Fuvu la Kichwa, au kwa Kiebrania, Golgotha.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo