Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 2:13 - Swahili Revised Union Version

Wengine walidhihaki, wakisema, wamelewa kwa mvinyo mpya.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini wengine wakawadhihaki wakisema, “Watu hawa wamelewa divai mpya!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini wengine wakawadhihaki wakisema, “Watu hawa wamelewa divai mpya!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini wengine wakawadhihaki wakisema, “Watu hawa wamelewa divai mpya!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini wengine wakawadhihaki wakasema, “Hawa wamelewa kwa divai!”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini wengine wakawadhihaki wakasema, “Hawa wamelewa divai!”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wengine walidhihaki, wakisema, wamelewa kwa mvinyo mpya.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 2:13
10 Marejeleo ya Msalaba  

Tazama, tumbo langu ni kama divai iliyozibwa; Kama viriba vipya liko karibu kupasuka.


Na kinywa chako kama divai iliyo bora, Kwa mpendwa wangu inashuka taratibu, Ikitiririka midomoni mwao walalao.


Na katika mlima huu BWANA wa majeshi atawafanyia mataifa yote karamu ya vitu vinono, karamu ya divai iliyokaa juu ya urojorojo wake, karamu ya vinono vilivyojaa mafuta, karamu ya divai iliyokaa juu ya urojorojo wake, iliyochujwa sana.


Na watu wa Efraimu watakuwa kama shujaa, na moyo wao utafurahi kana kwamba ni kwa divai; naam, watoto wao wataona mambo haya, na kufurahi; mioyo yao itamfurahia BWANA.


BWANA wa majeshi atawalinda; Nao watakula na kuyakanyaga mawe ya teo; Nao watakunywa na kufanya kelele kama kwa divai; Nao watajazwa kama mabakuli, kama pembe za madhabahu.


Maana wema wake, jinsi ulivyo mwingi! Na uzuri wake, jinsi ulivyo mwingi! Nafaka itawasitawisha vijana wanaume, Na divai mpya vijana wanawake.


Sivyo mnavyodhani; watu hawa hawakulewa, kwa maana ni saa tatu ya mchana;


Haya! Ikiwa kanisa lote limekusanyika pamoja, na wote wanene kwa lugha, kisha ikawa wameingia watu wajinga au wasioamini, je! Hawatasema ya kwamba mna wazimu?


Tena msilewe kwa mvinyo, ambamo mna ufisadi; bali mjazwe Roho;


Ndipo Eli akamwambia, Je! Utakuwa mlevi hadi lini? Achilia mbali divai yako.