Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 2:13 - Swahili Revised Union Version

13 Wengine walidhihaki, wakisema, wamelewa kwa mvinyo mpya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Lakini wengine wakawadhihaki wakisema, “Watu hawa wamelewa divai mpya!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Lakini wengine wakawadhihaki wakisema, “Watu hawa wamelewa divai mpya!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Lakini wengine wakawadhihaki wakisema, “Watu hawa wamelewa divai mpya!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Lakini wengine wakawadhihaki wakasema, “Hawa wamelewa kwa divai!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Lakini wengine wakawadhihaki wakasema, “Hawa wamelewa divai!”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Wengine walidhihaki, wakisema, wamelewa kwa mvinyo mpya.

Tazama sura Nakili




Matendo 2:13
10 Marejeleo ya Msalaba  

Tazama, tumbo langu ni kama divai iliyozibwa; Kama viriba vipya liko karibu kupasuka.


Na kinywa chako kama divai iliyo bora, Kwa mpendwa wangu inashuka taratibu, Ikitiririka midomoni mwao walalao.


Na katika mlima huu BWANA wa majeshi atawafanyia mataifa yote karamu ya vitu vinono, karamu ya divai iliyokaa juu ya urojorojo wake, karamu ya vinono vilivyojaa mafuta, karamu ya divai iliyokaa juu ya urojorojo wake, iliyochujwa sana.


Na watu wa Efraimu watakuwa kama shujaa, na moyo wao utafurahi kana kwamba ni kwa divai; naam, watoto wao wataona mambo haya, na kufurahi; mioyo yao itamfurahia BWANA.


BWANA wa majeshi atawalinda; Nao watakula na kuyakanyaga mawe ya teo; Nao watakunywa na kufanya kelele kama kwa divai; Nao watajazwa kama mabakuli, kama pembe za madhabahu.


Maana wema wake, jinsi ulivyo mwingi! Na uzuri wake, jinsi ulivyo mwingi! Nafaka itawasitawisha vijana wanaume, Na divai mpya vijana wanawake.


Sivyo mnavyodhani; watu hawa hawakulewa, kwa maana ni saa tatu ya mchana;


Haya! Ikiwa kanisa lote limekusanyika pamoja, na wote wanene kwa lugha, kisha ikawa wameingia watu wajinga au wasioamini, je! Hawatasema ya kwamba mna wazimu?


Tena msilewe kwa mvinyo, ambamo mna ufisadi; bali mjazwe Roho;


Ndipo Eli akamwambia, Je! Utakuwa mlevi hadi lini? Achilia mbali divai yako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo