Matendo 2:13 - Swahili Revised Union Version13 Wengine walidhihaki, wakisema, wamelewa kwa mvinyo mpya. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Lakini wengine wakawadhihaki wakisema, “Watu hawa wamelewa divai mpya!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Lakini wengine wakawadhihaki wakisema, “Watu hawa wamelewa divai mpya!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Lakini wengine wakawadhihaki wakisema, “Watu hawa wamelewa divai mpya!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Lakini wengine wakawadhihaki wakasema, “Hawa wamelewa kwa divai!” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Lakini wengine wakawadhihaki wakasema, “Hawa wamelewa divai!” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI13 Wengine walidhihaki, wakisema, wamelewa kwa mvinyo mpya. Tazama sura |