Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 2:12 - Swahili Revised Union Version

12 Wakashangaa wote wakaingiwa na shaka, wakiambiana, Maana yake nini mambo haya?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Wote walishangaa na kufadhaika huku wakiulizana, “Hii ina maana gani?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Wote walishangaa na kufadhaika huku wakiulizana, “Hii ina maana gani?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Wote walishangaa na kufadhaika huku wakiulizana, “Hii ina maana gani?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Wakiwa wameshangaa na kufadhaika wakaulizana, “Ni nini maana ya mambo haya?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Wakiwa wameshangaa na kufadhaika wakaulizana, “Ni nini maana ya mambo haya?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Wakashangaa wote wakaingiwa na shaka, wakiambiana, Maana yake nini mambo haya?

Tazama sura Nakili




Matendo 2:12
8 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, Yesu alipoyamaliza maneno hayo, makutano walishangaa mno kwa mafundisho yake;


Maana Herode alimwogopa Yohana; akimjua kuwa ni mtu wa haki, mtakatifu, akamlinda; na alipokwisha kumsikiliza alifadhaika sana; naye alikuwa akimsikiliza kwa furaha.


Akaita mtumishi mmoja, akamwuliza, Mambo haya, maana yake nini?


na alipowasikia makutano wakipita, aliuliza, Kuna nini?


Wakati Petro alipokuwa akisumbuka ndani ya nafsi yake, juu ya maana ya maono hayo aliyoyaona, wale watu waliotumwa na Kornelio, wakatokeza. Walikuwa kukiulizia nyumba ya Simoni, wakiwa wamesimama mbele ya lango,


Kwa maana unaleta mambo mageni masikioni mwetu, tutapenda kujua, basi, maana ya mambo haya.


Wakrete na Waarabu; tunawasikia hawa wakisema kwa lugha zetu matendo makuu ya Mungu.


Wakashangaa wote, wakastaajabu wakiambiana, Tazama, hawa wote wasemao si Wagalilaya?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo