Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 2:15 - Swahili Revised Union Version

15 Sivyo mnavyodhani; watu hawa hawakulewa, kwa maana ni saa tatu ya mchana;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Watu hawa hawakulewa kama mnavyodhani; mbona ni saa tatu tu asubuhi?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Watu hawa hawakulewa kama mnavyodhani; mbona ni saa tatu tu asubuhi?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Watu hawa hawakulewa kama mnavyodhani; mbona ni saa tatu tu asubuhi?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Hakika watu hawa hawajalewa kama mnavyodhania, kwa kuwa sasa ni saa tatu asubuhi!

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Hakika watu hawa hawakulewa kama mnavyodhania, kwa kuwa sasa ni saa tatu asubuhi!

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Sivyo mnavyodhani; watu hawa hawakulewa, kwa maana ni saa tatu ya mchana;

Tazama sura Nakili




Matendo 2:15
5 Marejeleo ya Msalaba  

Akatoka mnamo saa tatu, akaona wengine wamesimama sokoni wasiokuwa na kazi;


akamwambia, Kila mtu kwanza huandaa divai iliyo njema; na watu wakiisha kunywa sana ndipo huleta iliyo dhaifu; wewe umeiweka divai iliyo njema hata sasa.


lakini jambo hili ni lile lililonenwa kwa kinywa cha nabii Yoeli,


Hana akajibu, akasema, Hasha! Bwana wangu, mimi ni mwanamke mwenye roho ya huzuni, mimi sikunywa divai wala kileo, ila nimeimimina roho yangu mbele za BWANA.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo