Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 2:16 - Swahili Revised Union Version

16 lakini jambo hili ni lile lililonenwa kwa kinywa cha nabii Yoeli,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Ukweli ni kwamba jambo hili ni lile alilosema nabii Yoeli:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Ukweli ni kwamba jambo hili ni lile alilosema nabii Yoeli:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Ukweli ni kwamba jambo hili ni lile alilosema nabii Yoeli:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 La, hili ni jambo lililotabiriwa na nabii Yoeli, akisema:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 La, hili ni jambo lililotabiriwa na nabii Yoeli, akisema:

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 lakini jambo hili ni lile lililonenwa kwa kinywa cha nabii Yoeli,

Tazama sura Nakili




Matendo 2:16
5 Marejeleo ya Msalaba  

Neno la BWANA lililomjia Yoeli, mwana wa Pethueli.


Tena itakuwa siku hiyo, ya kwamba nuru yake haitakuwa na mwangaza na kiwi;


Sivyo mnavyodhani; watu hawa hawakulewa, kwa maana ni saa tatu ya mchana;


Itakuwa siku za mwisho, asema Mungu, nitawamwagia watu wote Roho yangu, na wana wenu na binti zenu watatabiri; na vijana wenu wataona maono; na wazee wenu wataota ndoto.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo