Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 9:27 - Swahili Revised Union Version

Lakini Yesu akamshika mkono akamwinua naye akasimama.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini Yesu akamshika mkono, akamwinua, naye akasimama.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini Yesu akamshika mkono, akamwinua, naye akasimama.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini Yesu akamshika mkono, akamwinua, naye akasimama.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini Isa akamshika mkono, akamwinua, naye akasimama.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini Isa akamshika mkono, akamwinua, naye akasimama.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini Yesu akamshika mkono akamwinua naye akasimama.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 9:27
11 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana mimi, BWANA, Mungu wako, nitakushika mkono wako wa kulia, nikikuambia, Usiogope; mimi nitakusaidia.


Lakini makutano walipoondoshwa, aliingia, akamshika mkono; yule msichana akasimama.


Akamkaribia, akamwinua kwa kumshika mkono, homa ikamwacha, akaanza kuwatumikia.


Naye akamhurumia, akanyosha mkono wake, akamgusa, akamwambia, Nataka, takasika.


Akamshika mkono kijana, akamwambia, Talitha, kumi; tafsiri yake, Msichana, nakuambia, Inuka.


Akamshika mkono yule kipofu, akamchukua nje ya kijiji, akamtemea mate katika macho, akamwekea mikono yake, akamwuliza, Waona kitu?


Akalia, akamtia kifafa sana, akamtoka; naye akawa kama amekufa; hata wengi wakasema, Amekufa.


Alipoingia nyumbani, wanafunzi wake wakamwuliza kwa faragha, Mbona sisi hatukuweza kumtoa?


Yule jemadari akamshika mkono akajitenga pamoja naye kando, akamwuliza kwa faragha, Una neno gani utakalo kuniarifu?


Akamshika mkono wa kulia, akamwinua, mara nyayo zake na vifundo vya miguu yake vikatiwa nguvu.


Akampa mkono, akamwinua; hata kisha akawaita wale watakatifu na wajane akamweka mbele yao, akiwa hai.