Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 9:11 - Swahili Revised Union Version

Wakamwuliza, wakisema, Mbona waandishi hunena ya kwamba imempasa Eliya kuja kwanza?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakamwuliza Yesu, “Mbona waalimu wa sheria wanasema ni lazima kwanza Elia aje?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakamwuliza Yesu, “Mbona waalimu wa sheria wanasema ni lazima kwanza Elia aje?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakamwuliza Yesu, “Mbona waalimu wa sheria wanasema ni lazima kwanza Elia aje?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakamuuliza, “Kwa nini walimu wa Torati husema kwamba ni lazima Ilya aje kwanza?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakamuuliza, “Kwa nini walimu wa Torati husema kwamba ni lazima Ilya aje kwanza?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakamwuliza, wakisema, Mbona waandishi hunena ya kwamba imempasa Eliya kuja kwanza?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 9:11
6 Marejeleo ya Msalaba  

Angalieni, namtuma mjumbe wangu, naye ataitengeneza njia mbele yangu; naye Bwana mnayemtafuta atalijia katika hekalu lake ghafla; naam, yule mjumbe wa agano mnayemfurahia, angalieni, anakuja, asema BWANA wa majeshi.


Angalieni, nitawatumia Eliya nabii, kabla siku ile ya BWANA, iliyo kuu na ya kuogofya haijafika.


Na ikiwa mnataka kukubali, yeye ndiye Eliya atakayekuja.


Wakalishika neno lile, wakiulizana wao kwa wao, Huko kufufuka katika wafu maana yake nini?


Wakatokewa na Eliya pamoja na Musa, nao walikuwa wakizungumza na Yesu.