Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 9:4 - Swahili Revised Union Version

4 Wakatokewa na Eliya pamoja na Musa, nao walikuwa wakizungumza na Yesu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Elia na Mose wakawatokea, wakazungumza na Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Elia na Mose wakawatokea, wakazungumza na Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Elia na Mose wakawatokea, wakazungumza na Yesu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Musa na Ilya wakawatokea, wakawa wanazungumza na Isa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Musa na Ilya wakawatokea, wakawa wanazungumza na Isa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Wakatokewa na Eliya pamoja na Musa, nao walikuwa wakizungumza na Yesu.

Tazama sura Nakili




Marko 9:4
15 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana manabii wote na Torati walitabiri mpaka wakati wa Yohana.


mavazi yake yakimetameta, meupe mno, jinsi asivyoweza dobi duniani kuyafanya meupe.


Petro akajibu, akamwambia Yesu, Rabi, ni vizuri sisi kuwapo hapa; na tufanye vibanda vitatu, kimoja chako wewe, kimoja cha Musa, na kimoja cha Eliya.


Akaanza kutoka Musa na manabii wote, akawaeleza katika maandiko yote mambo yaliyomhusu yeye mwenyewe.


Kisha akawaambia, Hayo ndiyo maneno yangu niliyowaambia nilipokuwa ningali pamoja nanyi, ya kwamba ni lazima yatimizwe yote niliyoandikiwa katika Torati ya Musa, na katika vitabu vya Manabii na Zaburi.


Wakamjibu wakisema, Yohana Mbatizaji; lakini wengine, Eliya; na wengine kwamba mmojawapo wa manabii wa kale amefufuka.


Mnayachunguza maandiko kwa sababu mnadhani kuwa ndani yake ninyi mna uzima wa milele; na maandiko yayo hayo ndiyo yanayonishuhudia.


Nami nikaanguka mbele ya miguu yake, ili nimsujudie; akaniambia, Angalia, usifanye hivi; mimi ni mtumishi mwenzako na wa ndugu zako walio na ushuhuda wa Yesu. Msujudie Mungu. Kwa maana ushuhuda wa Yesu ndio roho ya unabii.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo