Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 15:7 - Swahili Revised Union Version

Palikuwa na mtu aitwaye Baraba, aliyefungwa pamoja na waasi, waliosababisha mauaji katika uhalifu huo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, kulikuwa na mtu mmoja aitwaye Baraba, ambaye alikuwa amefungwa pamoja na waasi wengine kwa kusababisha uasi na mauaji.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, kulikuwa na mtu mmoja aitwaye Baraba, ambaye alikuwa amefungwa pamoja na waasi wengine kwa kusababisha uasi na mauaji.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, kulikuwa na mtu mmoja aitwaye Baraba, ambaye alikuwa amefungwa pamoja na waasi wengine kwa kusababisha uasi na mauaji.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakati huo, mtu aliyeitwa Baraba alikuwa amefungwa gerezani pamoja na waasi wengine waliokuwa wametekeleza uuaji wakati wa maasi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakati huo, mtu aliyeitwa Baraba alikuwa amefungwa gerezani pamoja na waasi wengine waliokuwa wametekeleza uuaji wakati wa maasi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Palikuwa na mtu aitwaye Baraba, aliyefungwa pamoja na waasi, waliosababisha mauaji katika uhalifu huo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 15:7
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi palikuwa na mfungwa mashuhuri siku zile, aitwaye Baraba.


Basi wakati wa sikukuu huwafungulia mfungwa mmoja, wamwombaye.


Makutano wakaja, wakaanza kuomba awafanyie kama vile alivyozoea.


Akamfungua yule aliyetupwa gerezani kwa ajili ya fitina na uuaji, yule waliyemtaka, akamtoa Yesu wamfanyie watakavyo.