Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 15:5 - Swahili Revised Union Version

Wala Yesu hakujibu neno tena, hata Pilato akastaajabu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini Yesu hakujibu neno, hata Pilato akashangaa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini Yesu hakujibu neno, hata Pilato akashangaa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini Yesu hakujibu neno, hata Pilato akashangaa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini Isa hakujibu lolote, hivyo Pilato akashangaa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini Isa hakujibu lolote, hivyo Pilato akashangaa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wala Yesu hakujibu neno tena, hata Pilato akastaajabu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 15:5
10 Marejeleo ya Msalaba  

Nimekuwa kifani kwa watu wengi, Lakini wewe ndiwe kimbilio langu la nguvu.


Alionewa, lakini alinyenyekea, Wala hakufunua kinywa chake; Kama mwana-kondoo apelekwaye machinjoni, Na kama vile kondoo anyamazavyo Mbele yao wakatao manyoya yake; Naam, hakufunua kinywa chake.


Angalieni, mimi na watoto hawa niliopewa na BWANA tu ishara na ajabu katika Israeli, zitokazo kwa BWANA wa majeshi, yeye akaaye katika mlima Sayuni.


Sikiliza sasa, Ee Yoshua, kuhani mkuu, wewe na wenzako wanaoketi mbele yako; maana hao ni watu walio ishara ya mambo yajayo; kwa maana, tazama, ninamleta mtumishi wangu, aitwaye Chipukizi.


Lakini aliposhitakiwa na wakuu wa makuhani na wazee, hakujibu hata neno.


Asimjibu hata neno moja, hata mtawala akastaajabu sana.


Pilato akamwuliza tena akisema, Hujibu neno? Tazama ni mambo mangapi wanayokushitaki!


Akamwuliza maneno mengi, yeye asimjibu lolote.


Akaingia tena ndani ya ile Praitorio, akamwambia Yesu, Wewe umetoka wapi? Lakini Yesu hakumpa jibu lolote.


Maana nadhani ya kuwa Mungu ametutoa sisi mitume mwisho, kama watu waliohukumiwa wauawe; kwa sababu tumekuwa tamasha kwa dunia; kwa malaika na wanadamu.