Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 15:4 - Swahili Revised Union Version

4 Pilato akamwuliza tena akisema, Hujibu neno? Tazama ni mambo mangapi wanayokushitaki!

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Pilato akamwuliza tena Yesu, “Je, hujibu neno? Tazama wanavyotoa mashtaka mengi juu yako.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Pilato akamwuliza tena Yesu, “Je, hujibu neno? Tazama wanavyotoa mashtaka mengi juu yako.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Pilato akamwuliza tena Yesu, “Je, hujibu neno? Tazama wanavyotoa mashtaka mengi juu yako.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Pilato akamuuliza tena, “Je, huna la kujibu? Tazama ni mashtaka mangapi wanayaleta juu yako.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Pilato akamuuliza tena, “Je, huna la kujibu? Tazama ni mashtaka mangapi wanayaleta juu yako.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Pilato akamwuliza tena akisema, Hujibu neno? Tazama ni mambo mangapi wanayokushitaki!

Tazama sura Nakili




Marko 15:4
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha Kuhani Mkuu akasimama akamwambia, Hujibu neno? Hawa wanakushuhudia nini?


Ndipo Pilato akamwambia, Husikii ni mambo mangapi wanayoshuhudia juu yako?


Nao wakuu wa makuhani walikuwa wakimshitaki mambo mengi.


Wala Yesu hakujibu neno tena, hata Pilato akastaajabu.


Basi Pilato akamwambia, Husemi nami? Hujui ya kuwa mimi nina mamlaka ya kukufungua, nami nina mamlaka ya kukusulubisha?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo