Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 15:3 - Swahili Revised Union Version

3 Nao wakuu wa makuhani walikuwa wakimshitaki mambo mengi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Makuhani wakuu wakamshtaki Yesu mambo mengi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Makuhani wakuu wakamshtaki Yesu mambo mengi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Makuhani wakuu wakamshtaki Yesu mambo mengi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Viongozi wa makuhani wakamshtaki kwa mambo mengi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Viongozi wa makuhani wakamshtaki kwa mambo mengi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Nao wakuu wa makuhani walikuwa wakimshitaki mambo mengi.

Tazama sura Nakili




Marko 15:3
11 Marejeleo ya Msalaba  

Naam, nimekuwa kama mtu asiyesikia, Ambaye hamna ubishi kinywani mwake.


Alionewa, lakini alinyenyekea, Wala hakufunua kinywa chake; Kama mwana-kondoo apelekwaye machinjoni, Na kama vile kondoo anyamazavyo Mbele yao wakatao manyoya yake; Naam, hakufunua kinywa chake.


Lakini aliposhitakiwa na wakuu wa makuhani na wazee, hakujibu hata neno.


Pilato akamwuliza, Wewe ndiwe mfalme wa Wayahudi? Akajibu, akamwambia, Wewe wasema.


Pilato akamwuliza tena akisema, Hujibu neno? Tazama ni mambo mangapi wanayokushitaki!


Wala Yesu hakujibu neno tena, hata Pilato akastaajabu.


Na tangu hapo Pilato akatafuta kumfungua; lakini Wayahudi wakapiga makelele wakisema, Ukimfungua huyu, wewe si rafiki yake Kaisari; kila mtu ajifanyaye kuwa mfalme humfitini Kaisari.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo