Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 11:21 - Swahili Revised Union Version

Petro akakumbuka habari yake, akamwambia, Rabi, tazama, mtini ulioulaani umenyauka.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Petro aliukumbuka, akamwambia Yesu, “Mwalimu, tazama! Ule mtini ulioulaani, umenyauka!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Petro aliukumbuka, akamwambia Yesu, “Mwalimu, tazama! Ule mtini ulioulaani, umenyauka!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Petro aliukumbuka, akamwambia Yesu, “Mwalimu, tazama! Ule mtini ulioulaani, umenyauka!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Petro akakumbuka na kumwambia Isa, “Mwalimu, tazama! Ule mtini ulioulaani umenyauka!”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Petro akakumbuka na kumwambia Isa, “Mwalimu, tazama! Ule mtini ulioulaani umenyauka!”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Petro akakumbuka habari yake, akamwambia, Rabi, tazama, mtini ulioulaani umenyauka.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 11:21
8 Marejeleo ya Msalaba  

Laana ya BWANA i katika nyumba ya waovu, Bali huibariki maskani ya mwenye haki.


Akaona mtini mmoja kando ya njia, akauendea, asione kitu juu yake ila majani tu; akauambia, Yasipatikane matunda kwako tangu leo hata milele. Mtini ukanyauka mara.


na kusalimiwa masokoni, na kuitwa na watu, Rabi.


Bali ninyi msiitwe Rabi, maana mwalimu wenu ni mmoja, nanyi nyote ni ndugu.


Kisha atawaambia na wale walioko katika mkono wake wa kushoto, Ondokeni kwangu, mliolaaniwa, mwende katika moto wa milele, aliowekewa tayari Ibilisi na malaika zake;


Huko nyuma wanafunzi wakamsihi wakisema, Rabi, ule.


Mtu awaye yote asiyempenda Bwana, na awe amelaaniwa. Maranatha.