Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 11:22 - Swahili Revised Union Version

22 Yesu akajibu, akamwambia, Mwaminini Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Yesu akawaambia, “Mwaminini Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Yesu akawaambia, “Mwaminini Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Yesu akawaambia, “Mwaminini Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Isa akawajibu, “Mwaminini Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Isa akawajibu, “Mwaminini Mungu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

22 Yesu akajibu, akamwambia, Mwaminini Mungu.

Tazama sura Nakili




Marko 11:22
10 Marejeleo ya Msalaba  

Wakaamka asubuhi na mapema, wakaenda nje katika jangwa la Tekoa; nao walipokuwa wakitoka, Yehoshafati akasimama, akasema, Nisikieni, enyi Yuda nanyi wenyeji wa Yerusalemu; mwaminini BWANA, Mungu wenu, ndivyo mtakavyothibitika; waaminini manabii wake, ndivyo mtakavyofanikiwa.


Enyi watu, mtumainini sikuzote, Ifunueni mioyo yenu mbele zake; Mungu ndiye kimbilio letu.


tena kichwa cha Efraimu ni Samaria, na kichwa cha Samaria ni mwana wa Remalia. Ikiwa hamtasimama imara katika imani, hamtathibitika kamwe.


Akasema, Njoo. Petro akashuka katika mashua, akatembea juu ya maji, ili kumwendea Yesu.


Yesu akawaambia, Kwa sababu ya upungufu wa imani yenu. Kwa maana, amin, nawaambia, Mkiwa na imani kiasi cha punje ya haradali mtauambia mlima huu, Ondoka hapa uende kule; nao utaondoka; wala halitakuwako neno lisilowezekana kwenu. [


Yesu akajibu, akawaambia, Amin, nawaambia Mkiwa na imani, msipokuwa na shaka, mtafanya si hilo la mtini tu, lakini hata mkiuambia mlima huu, Ng'oka, ukatupwe baharini, litatendeka.


Yesu akamwambia, Ukiweza! Yote yawezekana kwake aaminiye.


Msifadhaike mioyoni mwenu; mnamwamini Mungu, niaminini na mimi.


Mkazikwa pamoja naye katika ubatizo; na katika huo mkafufuliwa pamoja naye, kwa kuziamini nguvu za Mungu aliyemfufua katika wafu.


Paulo, mtumwa wa Mungu, na mtume wa Yesu Kristo; kwa ajili ya imani ya wateule wa Mungu, na ujuzi wa kweli ile iletayo utauwa;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo