Marko 11:20 - Swahili Revised Union Version20 Na asubuhi walipokuwa wakipita, waliuona ule mtini umenyauka toka shinani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Asubuhi na mapema, walipokuwa wanapita, waliuona ule mtini umenyauka wote, hata mizizi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Asubuhi na mapema, walipokuwa wanapita, waliuona ule mtini umenyauka wote, hata mizizi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Asubuhi na mapema, walipokuwa wanapita, waliuona ule mtini umenyauka wote, hata mizizi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Kesho yake asubuhi walipokuwa wakipita, wakauona ule mtini umenyauka kutoka juu hadi kwenye mizizi yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Asubuhi yake walipokuwa wakipita, wakauona ule mtini umenyauka kutoka juu hadi kwenye mizizi yake. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI20 Na asubuhi walipokuwa wakipita, waliuona ule mtini umenyauka toka shinani. Tazama sura |