Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 11:20 - Swahili Revised Union Version

20 Na asubuhi walipokuwa wakipita, waliuona ule mtini umenyauka toka shinani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Asubuhi na mapema, walipokuwa wanapita, waliuona ule mtini umenyauka wote, hata mizizi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Asubuhi na mapema, walipokuwa wanapita, waliuona ule mtini umenyauka wote, hata mizizi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Asubuhi na mapema, walipokuwa wanapita, waliuona ule mtini umenyauka wote, hata mizizi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Kesho yake asubuhi walipokuwa wakipita, wakauona ule mtini umenyauka kutoka juu hadi kwenye mizizi yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Asubuhi yake walipokuwa wakipita, wakauona ule mtini umenyauka kutoka juu hadi kwenye mizizi yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 Na asubuhi walipokuwa wakipita, waliuona ule mtini umenyauka toka shinani.

Tazama sura Nakili




Marko 11:20
14 Marejeleo ya Msalaba  

Mizizi yake huzongazonga chuguu, Huangalia mahali penye mawe.


Naam, hawakupandwa; hawakutiwa katika ardhi kama mbegu; naam, shina lao halikutia mizizi katika ardhi; tena awapuzia tu, wakanyauka, upepo wa kisulisuli wawaondoa kama mabua makavu.


Je! Ni kazi gani iliyohitajika kutendeka ndani ya shamba langu la mizabibu nisiyoitenda? Basi, nilipotumaini ya kuwa litazaa zabibu, mbona lilizaa zabibumwitu?


Lakini jua lilipozuka ziliungua; na kwa kuwa hazina mizizi zikanyauka.


Akajibu, akasema, Kila pando asilolipanda Baba yangu wa mbinguni litang'olewa.


Na asubuhi alipokuwa akienda mjini, aliona njaa.


Siku iliyofuata walipokuwa wakitoka Bethania, aliona njaa.


Akajibu, akauambia, Tangu leo hata milele mtu asile matunda kwako. Wanafunzi wake wakasikia.


Mtu asipokaa ndani yangu, hutupwa nje kama tawi na kunyauka; watu huyakusanya na kuyatupa motoni yakateketea.


bali ikitoa miiba na magugu hukataliwa na kuwa karibu na laana; ambayo mwisho wake ni kuteketezwa.


Watu hawa ni miamba yenye hatari katika karamu zenu za upendo walapo karamu pamoja nanyi, wakijilisha pasipo hofu; ni mawingu yasiyo na maji, yachukuliwayo na upepo; ni miti iliyopukutika, isiyo na matunda, iliyokufa mara mbili, na kung'olewa kabisa;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo