Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Maombolezo 5:12 - Swahili Revised Union Version

Wakuu hutundikwa kwa mikono yao; Nyuso za wazee hazipewi heshima.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakuu wetu wametungikwa kwa mikono yao; wazee wetu hawapewi heshima yoyote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakuu wetu wametungikwa kwa mikono yao; wazee wetu hawapewi heshima yoyote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakuu wetu wametungikwa kwa mikono yao; wazee wetu hawapewi heshima yoyote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakuu wametungikwa juu kwa mikono yao, wazee hawapewi heshima.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakuu wametungikwa juu kwa mikono yao, wazee hawapewi heshima.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakuu hutundikwa kwa mikono yao; Nyuso za wazee hazipewi heshima.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Maombolezo 5:12
8 Marejeleo ya Msalaba  

Nilikuwa nimekasirika na watu wangu, niliutia unajisi urithi wangu, nikawatia mkononi mwako; wewe hukuwatendea rehema; kwa wazee uliifanya nira yako kuwa nzito sana.


Wazee wa binti Sayuni huketi chini, Hunyamaza kimya; Wametupa mavumbi juu ya vichwa vyao, Wamejivika viunoni nguo za magunia; Wanawali wa Yerusalemu huinama vichwa vyao Kuielekea nchi.


Tazama, BWANA, uangalie, Ni nani uliyemtenda hayo! Je! Wanawake wale mazao yao, Watoto waliowabeba? Je! Kuhani na nabii wauawe Katika patakatifu pa Bwana?


Hasira ya BWANA imewatenga, Yeye hatawaangalia tena; Hawakujali nafsi za wale makuhani, Hawakuwaheshimu wazee wao.


Mwondokeeni mtu mwenye mvi; heshimuni uso wa mtu mzee; nawe mche Mungu wako, Mimi ndimi BWANA.