Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Maombolezo 5:13 - Swahili Revised Union Version

13 Vijana huyachukua mawe ya kusagia; Na watoto hujikwaa chini ya kuni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Vijana wanalazimishwa kusaga nafaka kwa mawe, wavulana wanayumbayumba kwa mizigo ya kuni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Vijana wanalazimishwa kusaga nafaka kwa mawe, wavulana wanayumbayumba kwa mizigo ya kuni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Vijana wanalazimishwa kusaga nafaka kwa mawe, wavulana wanayumbayumba kwa mizigo ya kuni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Vijana wanataabika kwenye mawe ya kusagia, wavulana wanayumbayumba chini ya mizigo ya kuni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Vijana wanataabika kwenye mawe ya kusagia, wavulana wanayumbayumba chini ya mizigo ya kuni.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Vijana huyachukua mawe ya kusagia; Na watoto hujikwaa chini ya kuni.

Tazama sura Nakili




Maombolezo 5:13
11 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo hapo mke wangu na asage kwa mwingine, Na wengine na wainame juu yake.


Basi wakaweka wasimamizi juu yao wawatese kwa mizigo yao. Nao wakamjengea Farao miji ya kuwekea akiba, Pithomu na Ramesesi.


na wazaliwa wa kwanza wote katika nchi ya Misri watakufa, tangu yule mzaliwa wa kwanza wa Farao aketiye katika kiti chake cha enzi, hata mzaliwa wa kwanza wa huyo kijakazi aliye pale nyuma ya jiwe la kusagia; na wazaliwa wa kwanza wote wa wanyama.


Hata siku zile, Musa alipokuwa mtu mzima, akatoka kuwaendea ndugu zake, akatazama mizigo yao. Akamwona Mmisri anampiga Mwebrania, mmojawapo wa ndugu zake.


Ukimwona punda wake huyo akuchukiaye akiwa ameanguka chini ya mzigo wake, na wewe ungejizuia usimsaidie, lazima umsaidie.


Twaa mawe ya kusagia, usage unga; Vua utaji wako, ondoa mavazi yako, Funua mguu wako, pita katika mito ya maji.


Je! Saumu niliyoichagua, siyo ya namna hii? Kufungua vifungo vya uovu, kuzilegeza kamba za nira, kuwaacha huru walioonewa, na kwamba mvunje kila nira?


Watoto huokota kuni, na baba zao huwasha moto, na wanawake hukanda unga, ili kumfanyizia mikate malkia wa mbinguni, na kuwamiminia miungu mingine sadaka za kinywaji, wapate kunikasirisha mimi.


Wao hufunga mizigo mizito na kuwatwika watu mabegani mwao; wasitake wenyewe kuigusa kwa kidole chao.


Wafilisti wakamkamata, wakamng'oa macho; wakateremka naye mpaka Gaza, wakamfunga kwa vifungo vya shaba; naye alikuwa akisaga ngano katika gereza.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo