Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Maombolezo 5:14 - Swahili Revised Union Version

14 Wazee wameacha kwenda langoni; Na vijana kwenda ngomani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Wazee wameacha kutoa mashauri yao, vijana wameacha kuimba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Wazee wameacha kutoa mashauri yao, vijana wameacha kuimba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Wazee wameacha kutoa mashauri yao, vijana wameacha kuimba.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Wazee wameondoka katika lango la mji, vijana wameacha kuimba nyimbo zao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Wazee wameondoka langoni la mji, vijana wameacha kuimba nyimbo zao.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 Wazee wameacha kwenda langoni; Na vijana kwenda ngomani.

Tazama sura Nakili




Maombolezo 5:14
15 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini sasa hao walio wadogo wangu hunifanyia mzaha, Ambao baba zao ningewadharau hata kuwasimamia mbwa wa kundi langu.


Kwa hiyo kinanda changu kimegeuzwa kuwa maombolezo, Na filimbi yangu kuwa sauti yao waliao.


Maana BWANA wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, Mimi, mbele ya macho yenu, na katika siku zenu, nitaikomesha sauti ya furaha, na sauti ya kicheko, mahali hapa; sauti ya bwana arusi, na sauti ya bibi arusi.


Tena, nitawaondolea sauti ya kicheko, na sauti ya furaha, sauti ya bwana arusi, na sauti ya bibi arusi, sauti ya mawe ya kusagia, na nuru ya mishumaa.


Ndipo katika miji ya Yuda, na katika njia kuu za Yerusalemu, nitaikomesha sauti ya kicheko na sauti ya furaha, sauti ya bwana arusi na sauti ya bibi arusi; kwa maana nchi hiyo itakuwa ukiwa.


Niliwaita hao walionipenda Lakini walinidanganya; Makuhani wangu na wazee wangu Walifariki mjini; Hapo walipokuwa wakitafuta chakula ili kuzihuisha nafsi zao.


Njia za Sayuni zaomboleza, Kwa kuwa hakuna ajaye kwa sikukuu; Malango yake yote yamekuwa ukiwa, Makuhani wake hupiga kite; Wanawali wake wanahuzunika; Na yeye mwenyewe huona uchungu.


Wazee wa binti Sayuni huketi chini, Hunyamaza kimya; Wametupa mavumbi juu ya vichwa vyao, Wamejivika viunoni nguo za magunia; Wanawali wa Yerusalemu huinama vichwa vyao Kuielekea nchi.


Nami nitaikomesha sauti ya nyimbo zako, wala sauti ya vinubi vyako haitasikiwa tena.


Nami nitamwadhibu kwa sababu ya siku za Mabaali, aliowafukizia uvumba; hapo alipojipamba kwa pete masikioni mwake, na kwa vito asema BWANA.


Weka waamuzi na maofisa katika malango yako yote akupayo BWANA, Mungu wako, kwa hesabu ya kabila zako; nao wawaamue watu kwa maamuzi ya haki.


Wala sauti ya wapiga vinanda, na ya wapiga zomari, na ya wapiga filimbi, na ya wapiga baragumu, haitasikika ndani yako tena kabisa; wala fundi awaye yote wa kazi yoyote hataonekana ndani yako tena kabisa; wala sauti ya jiwe la kusagia haitasikiwa ndani yako tena kabisa;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo